Hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya ilikamilishwa usiku wa kuamkia hii leo katika viwanja vinane tofauti, kwa kushuhudia michezo ya kundi la tano hadi la nane.

Baadhi ya matokeo ya michezo hiyo, yamatoa majibu ya timu zilizomaliza katika nafasi ya kwanza na ya pili katika makundi hayo na kukamilisha idadi ya timu 16 zitakazocheza hatua ya mtoano.

Matokeo ya michezo ya mwisho ya hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya iliyochezwa usiku wa kuamkia leo.

UEFA CHAMPIONS LEAGUE – Kundi la 5

Bayer 04 Leverkusen 3-0 Monaco

Tottenham Hotspur 3-1 CSKA Moscow

 

UEFA CHAMPIONS LEAGUE – Kundi la 6

Legia Warsaw 1-0 Sporting Lisbon

Real Madrid 2-2 Borussia Dortmund

 

UEFA CHAMPIONS LEAGUE – Kundi la 7

Club Brugge 0-2 FC Copenhagen

FC Porto 5-0 Leicester City

 

UEFA CHAMPIONS LEAGUE – Kundi la 8

Juventus 2-0 Dinamo Zagreb

Lyon 0-0 Sevilla

Champions League

Europa League Kumtega Jose Mourinho?
Makonda: Jitokezeni kwa wingi kwenye maadhimisho ya miaka 55 ya uhuru