Wachambuzi wa masuala ya biashara jarida la Forbes wamechapisha utafiti wao wa mawakala matajiri zaidi duniani huku wakiwemo wale ambao wamewahi kufanikisha madili makubwa ya wachezaji wenye majina makubwa zaidi ulimwenguni.

Vilabu vya ligi kuu ya England (EPL) vimetumia jumla ya pauni bilioni moja kwa ajili ya usajili wa msimu huu wa 2015. Mtandao wa habari za michezo wa daily mail umetoa orodha ya mawakala saba wenye nguvu ya pesa kwa sasa kwenye mchezo wa soka.

Gareth Bale is the world's most expensive player after he completed a £85.3m move to Real Madrid in 2013

 7. Thomas Kroth

Wakala wa: Manuel Neuer, Aleksander Dragovic, Shinji Kagawa, Sebastian Rode, Jose Holebas.

Thamanin ya mkataba wake ni: £146m

Former German footballer Thomas Kroth (right) has several Bundesliga players among his clients

6. Fernando Felicevich

Meneja wa: Alexis Sanchez, Arturo Vidal, Claudio Bravo, Gary Medel

Thamani ya mkataba wake ni: £148m

Fernando Felicevich is a picture of happiness on a private jet to London with Alexis Sanchez in 2014

5. Mino Raiola 

Wakala wa: Paul Pogba, Henrikh Mkitarhyan, Blaise Matuidi, Zlatan Ibrahimovic, Maxwell, Romelu Lukaku, Mario Balotelli

Thamani ya mkataba wake: £186m

Mino Raoila walks alongside Mario Balotelli in Milan during his client's first spell with the San Siro club in 2013

Wakala wa : Vitolo, Fernando Torres, Javi Martinez, Jesus Navas, Pedro, Raul Garcia, Nacho Monreal

Thamani ya mkataba wake: £191m

Jose Otin has seven Spanish footballers among his clients including Fernando Torres and Jesus Navas

3. Volker Struth

Wakala wa: Marco Reus, Mario Gotze, Toni Kroos, Benedikt Howedes, Sidney Sam, Omer Toprak, Gonzalo Castro, Josip Drmic.

Mkataba wake unathamani ya: £278m

Volker Struth deals with a mixture of German, Swiss and Turkish footballers including Bayern's Mario Gotze

Thamani ya mkataba wake ni: £287m

Jonathan Barnett is the agent for an army of footballers who have played in the Premier League

1. Jorge Mendes

Wakala wa: Cristiano Ronaldo, James Rodriguez, Eliaquim Mangala, Pepe, Ricardo Carvalho, Fabio Coentrao,Diego Costa, Thiago Silva, Tiago, Radamel Falcao, Angel di Maria, David de Gea, Jose Mourinho.

Thamani ya mkataba wake ni: £626.3m

Jorge Mendes remains the wealthiest agent having been involved in Cristiano Ronaldo's move to Real Madrid

Jorge Mendes anabakia kuwa wakala tajiri kuliko wote duniani akiwa amewahi kuhusika kwenye dili la uhamisho wa Ronaldo kwenda Madrid.

Malinzi Awalilia Mahujaj Waliopoteza Maisha Saudia Arabia
Maria Sarungi Awashangaa Chadema...