Klabu ya Arsenal, hii leo itaanza kampeni za kusaka ubingwa wa barani Ulaya kwa kucheza mchezo wa hatua ya makundi dhidi ya mabingwa wa soka nchini Croatia Dinamo Zagreb katika uwanja wa Maksimir uliopo mjini Zagreb.

Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amekuwa akikosolewa kwa kushindwa kununua mshambuliaji mpya, lakini anasema kuwa anakiamini kikosi chake na kwamba Theo Walcott ndio jibu la safu yake ya mashambulizi.

Pia amesema kuwa ni muhimu kwa kikosi chake kutoshindwa katika mechi ya kwanza ya michuano hiyo nchini Croatia.

Michezo mingine ya ligi ya mabingwa barani Ulaya itakayochezwa hii leo.

Champions League – Group E

Bayer Leverkusen Vs BATE Borisov

Roma Vs FC Barcelona

 

Champions League – Group F

Dinamo Zagreb Vs Arsenal

Olympiakos Vs Bayern Munich

 

Champions League – Group G

Chelsea Vs Maccabi Tel Aviv

Dynamo Kyiv Vs FC Porto

 

Champions League – Group H

Gent Vs Lyon

Valencia Vs Zenit St. Petersburg

Mourinho: Sikuizoea Hali Hii
Copa Coca Cola Yapigwa Kalenda