Katika mashindano ya kimataifa ya mpira wa magongo (Twenty20) Australia imeweka rekodi mpya ya ushindi baada ya kuishinda Sri Lanka kwa 263-3 huko Pallekele.

Maxwell alifungua mapambano, na kushinda kwa seti 9- 6 na 14-4 ya pili kwa ukubwa kwenye mashindano ya cricket ya kimataifa (T20). Sri Lanka ilichaguliwa kuwa ya kwanza ambapo iliweza kuhimili seti 178-9 kwa kuwajibu Austraria walioshinda mchezo wa kwanza kati ya miwili iliyofuatana kwa mizunguko 85.

Maxwell mwenye umri wa miaka 27 anacheza michuano ya wazi baada ya Finch kuvunjika kidole kwenye mchezo dhidi ya Sri Lanka uliofanyika hivi karibuni dhidi ya Ufaransa.

“kusalia juu ni mahali fulani ningependa kubaki, lakini kwenye timu nyingi nilizozichezea sikupata fursa”, – Maxwell.

Australia imeweka rekodi kwenye michuano ya T20 baada ya siku nane tu England kuweka rekodi mpya siku moja kwenye michuano ya kimataifa ya Cricket, 444 dhidi ya Pakistan

Video: Waziri Mkuu akagua ujenzi wa ofisi yake Dodoma, "Kuhamia Dodoma hakutokani na shinikizo la kisiasa"
Picha: Waziri Mkuu, Majaliwa akikagua ujenzi wa makazi yake mapya Dodoma