Biashara 16,000 zafungwa miezi 10, Kigogo UDART mkewe waunganishwa kesi uhujumu uchumi, Kizimbani kwa ubakaji kujifanya mtoto wa CAG, Tozo zasababisha wafanya biashara kurejesha leseni, Serikali kutoa tamko jipya homa ya dengue, Shahidi nilimuona Mbowe akihamasisha maandamano,…… Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito kwenye magazeti ya leo Mei 14, 2019.

 

Instagram yasababisha kifo cha binti mdogo
Wasukumwa ndani kwa tuhuma za kula hadharani wakati wa mfungo