Hatimaye mshindi wa tuzo ya MTV/MAMA, Diamond Platinumz amekamilisha kurekodi wimbo wake na mkali wa RnB toka Marekani, Ne-yo.

Collabo hiyo imefanywa kwa ushirikiano na mtayarishaji wa Tanzania, Sheddy Clever ambapo Diamond amesifia kazi nzima iliyofanywa akiitabiria kuwa ‘hit song’ ya kimataifa.

“Thanks alot my Brother @neyo and the Whole Compound Crew had a great Session, and it was realy nice working with you…can’t wait for the World to hear this Hit Song!! @Diamondplatnumz ft @neyo ….. Cc @sheddyclever @Compoundu @thecorpshow @Jullianl #AfricaTotheWorld,” Diamond aliandika kwenye post ya Instagram ikiwa na picha inayoonesha kazi ilivyofanyika.

Ne-yo ambaye amekuja Afrika Mashariki kushiriki msimu wa tatu wa Coke Studio Africa amefanya collabo na wasanii wawili wakubwa Tanzania, Diamond na Ali Kiba.

Balotelli Hataki Kurudi Italia
Esther Bulaya Aigawa Chadema Bunda