Arsenal imepangwa kucheza dhidi ya timu ya Ostersunds ya nchini Sweden katika Hatua ya 32 Bora ya michuano ya Europa League.

Kocha Gennaro Gattuso wa AC Milan ataiongoza timu yake hiyo kuivaaa Ludugorets ya Bulgaria.

Ratiba kamili inaonyesha hatua hiyo itachezwa Februari 15 wakati mechi za marudio ni Februari 22, mwakani 2018.

RATIBA KAMILI YA 32

Borussia Dortmund vs Atalanta

Nice vs Lokomotiv Moscow

Copenhagen vs Atletico Madrid

Spartak Moscow vs Athletic Bilbao

AEK Athens vs Dynamo Kiev

Celtic vs Zenit St Petersburg

Napoli vs Leipzig

Red Star Belgrade vs CSKA Moscow

Lyon vs Villarreal

Real Sociedad vs Salzbug

Partizan Belgrade vs Viktoria Plzen

Steaua Bucharest vs Lazio

Ludogorets vs AC Milan

Astana vs Sporting Lisbon

Ostersunds vs Arsenal

Marseille vs Braga

Okwi awashangaa viongozi Simba SC
Neymar Arudishwa Hispania kuivaa Real Madrid