Kutoka katika Headlines za Magazeti ya Tanzania leo Julai 12 2016 ambapo magazeti mengi yameandika tukio la kukamatwa kwa Askofu Josephat Gwajima.

->>> Kiongozi wa Kanisa la ufufuo na uzima Askofu Josephat Gwajima amekamatwa na Jeshi la Polisi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, jijini Dar es Salaam aliporejea nchini kutoka nje ya nchi.

Inadaiwa kuwa Gwajima alikuwa nje ya nchi kupatiwa matibabu kutokana na mardhi yanayomsumbua.

324  5 101119687419  22     21 17  1820  23   13 1214 15 16  2

Arsene Wenger Kutumia Njia Mbadala Kumpata Higuain
Daktari feki aliyetinga ICU Awekwa kati