Fahamu yote yaliyojiri katika magazeti ya Tanzania leo Aprili 8, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele, kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Video: Rais Magufuli asema hajachoka kubadilisha mawaziri, Maandamano ya CAG yaja
Uchambuzi: ‘Leo’ ya Darassa na Jux ni moto wa gesi (Video)