Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Desemba, 4, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

CCM yakomelea msumari sakata la Dkt. Bashiru na Membe 'Ni kawaida yetu'
Serikali yafuta mitihani ya kidato cha pili