Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Februari 12, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Prof. Mbarawa azitaka mamlaka za maji kujitegemea
Makala: Muujiza wa mtoto wa miaka 6 aliyetunukiwa u-Polisi utakavyobadili maisha ya mwanao