Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Februari 18, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Makala: Haile Selassie, ‘Masiha’ aliyeuawa na kutupwa chooni, kutukuzwa na kupingwa
Mahakama yasema sio kosa kuendesha ukiwa umekunywa pombe