Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Februari 23, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

R Kelly akabiliwa na kifungo cha miaka 70 jela, ajisalimisha polisi
Katibu wa CCM Njombe atembelea familia mbili zilizopoteza watoto.