Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Januari 25, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Real Madrid yafunika kwa ukwasi, 'yaichapa' Barcelona
Ole Sendeka acharuka, sasa kula sahani moja na watekaji