Fahamu yote yaliyojiri katika magazeti ya Tanzania leo Julai 7, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele, kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Cameroon, Misri zafungashiwa virago AFCON
Lugola aapa kula sahani moja na Polisi wasiokuwa waaminifu