Fahamu yote yaliyojiri katika magazeti ya Tanzania leo Julai 8, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele, kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Msaidizi wa Membe adaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha
Kundi la Haki za Binadamu lamlima barua Nicki Minaj asifanye tamasha Saudi Arabia