Fahamu yote yaliyojiri katika magazeti ya Tanzania leo Julai 9, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele, kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani

Familia ya msaidizi wa Membe yaipigia goti serikali, 'Tusaidieni jamani kumpata Allan'
TFF yamfungashia virago Amunike