Fahamu yote yaliyojiri katika magazeti ya Tanzania leo Mei 18, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele, kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Natii wito wa Ndugai, nataka kujua mambo ya hovyo hovyo nayoyafanya- Masele
Mashabiki waiandalia Futari Kagera Sugar