Fahamu yote yaliyojiri katika magazeti ya Tanzania leo Mei 19, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele, kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

 

Huyu Masele lazima arudi nyumbani, tunachomuitia ni uchonganishi kwa viongozi- Ndugai
Wananchi Wampongeza JPM kwa Kuwawezesha Kupitia MKURABITA