Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Novemba 11, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za kitaifa, kimataifa, michezo na burudani.

Video: JPM awafukuza Tizeba, Mwijage, Samia aionya Takukuru kuwakumbatia wala rushwa
JPM atumbua mawaziri wawili, Mwita Waitara azidi kung'ara