Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Novemba 13 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za kitaifa, kimataifa, michezo na burudani.

Mimi ndiye nilisaidia Serikali kuokoa zaidi ya bilioni 600- Mwijage
Solari: Ninaisaidia Real Madrid, sitafuti cheo