Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Novemba 15, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Video: Serikali yafutiwa mkopo wa bil. 700/=, Pensheni yaibua gumzo
Takukuru yawashikilia watumishi watano wilaya ya Makete