Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Novemba 2, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

JPM hajamtuma RC, wala DC kutumia mamlaka vibaya- Makonda
Chapeni kazi, Katiba itafuata kwa wakati wake- Rais Magufuli