Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Novemba 29, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Museveni aigomea Burundi, ataka kikao kifanyike kama kilivyo pangwa
Anachofanya Makonda ni uchonganishi- Saed Kubenea