Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Novemba 8, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

Mwanasheria mkuu wa Marekani ajiuzulu
Serikali kuweka mikakati mizuri ili kuongeza usikivu TBC