Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 25, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele na kurasa za nyuma za habari za michezo na burudani.

 

NEC yawaonya wasimamizi watakao vuruga uchaguzi
UNHCR yaitahadharisha Marekani isikiuke sheria za kimataifa