Karibu usome habari zilizopewa nafasi kwenye kurasa za mbele na kurasa za nyuma za magazeti ya Tanzania, leo Juni 26, 2021.

Usikose pia kuangalia magazeti yakisomwa kupitia YouTube ya Dar24 Media muda mfupi ujao.

Ndugai: Kuna waliomaliza ubunge maisha yao ni magumu kweli
Aliyemuua George Floyd apigwa miaka 22 jela, Jaji amuongeza lingine