Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amepokelewa na mwenyeji wake Rais, Hage Geingob wa Namibia tayari kwa kuanza ziara rasmi ya Kitaifa nchini humo.

Mama aliyekamatwa Uhamiaji Marekani azuiwa kumzika mwanaye
Marufuku ya mifuko ya plastiki kuibua fursa ya kiuchumi