Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata keki kama ishara ya kusherehekea kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa leo tarehe 27 Januari, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Ahmed Ally: Atakaecheka mwisho ndo atacheka zaidi
Kifaru: Tutaendelea kutumia Uwanja wetu