Msemo wa Kiswahili wa wahenga ‘ukitaka uzuri dhurika‘ unaweza kuwa na maana kubwa katika mkasa huu wa aina yake unaowapa kiashiria ‘chekundu’ warembo duniani kote wanaopenda kuvaa mawigi na kusuka ‘ma-weaving’ kichwani kufunika nywele zao za asili.

Jasmine Collins ametoa taarifa kuhusu msichana wa miaka 23 ambaye amejikuta akinyoyoka nywele kama kifaranga chenye ugonjwa wa kuku, baada ya kutusuka ‘maweaving’ na kusuka mawigi kwa miaka kadhaa na kutozipa nywele zake halisi nafasi nzuri ya kupumua.

Collins amepost picha na video fupi zinazoonesha jinsi ambavyo msichana huyo ameathirika, na kueleza kuwa msichana huyo amemruhusu kupost picha hizo ili kuwasaidia wanawake wengine duniani kuepuka kilichomsibu.

“Ninasema tena, ngoja niwaambia kuwa mimi sio mpinga weaving na mawigi lakini huwezi kuishi nayo kila siku. Wateja wanafukuzia mitindo na wanamitindo wanafukuzia fedha na hakuna mtu anayesikiliza kuhusu umuhimu wa nywele. Hii lazima i-stop,” ameeleza Collins kwenye post yake aliyoiandika kiingereza na video ya msichana huyo.

LET ME START BY SAYING THIS IS NOT FUNNY SO PLS KEEP YOUR SMART COMMENTS OFF THIS POST. THIS BABY IS 23 YEARS OLD AND SUFFERING FROM SEVERE HAIRLOSS DUE TO BRAIDS, SEW-INS QUICK WEAVES ECT… JUST BY HER LETTING ME POST THIS WILL CHANGE LIVES ALL ACROSS THE WORLD. THANK U FOR BEING A BLESSING. AGAIN LET ME SAY THAT I’M NOT ANTI WEAVE U JUST CAN NOT LIVE BY IT ON A EVERYDAY BASIS. I TELL PEOPLE ALL THE TIME CLIENTS ARE CHASING STYLES AND STYLIST ARE CHASING THE DOLLAR AND AIN’T NOBODY LISTENING TO THE HAIR. THIS HAS TO STOP?!!!! I HAVE NO CHOICE BUT TO USE MY PLATFORM TO SAY SOMETHING ABOUT IT. THESE WOMEN ARE COMING FROM ALL OVER THE WORLD TO SIT IN MY CHAIR CAUSE THEY WANT OUT AND TIRED. BUT CANT FIND ANYONE WHO CAN TAKE CARE OF THEIR REALHAIR IF U ONLY KNEW HOW MANY TEARS ARE SHED IN MY CHAIR CAUSE OF THE MISTAKES THEY MADE CHASING STYLES AND CONVENIENCE. WHERE IN THE HELL IS ALL THE REAL STYLIST THAT KNOW HAIR???? #razorchicofatlantasalon #realstylistschangelives #razorchic #hairloss #damage #hair #cutlife #modernsalon #realhair #paulmitchell #empire #aveda

A video posted by RAZOR CHIC (@razorchicofatlanta) on

Simba Wamalizana Na Emiry Nimubona
Kange Lugola: Wasaidizi wa Rais wamempotosha kuhusu wanafunzi wa UDOM