Gazeti la ‘France Footbal’ limetoa orodha ya wachezaji wanaolipwa kiasi kikubwa cha pesa kwa mwaka mzima kupitia mishahara pamoja na matangazo ya biashara wanayoyafanya na baadhi ya makampuini makubwa duniani.

Pesa hizo kwa mwaka pia zimejumuisha ongezeko la malipo (Bonus) ambayo wanayapata kupitia mikataba waliyosaini dhidi ya viongozi wa klabu wanazozitumikia kufuatia mafanikio wanayopata kwa kuwa sehemu ya kutwaa mataji ama kufikia lengo lililokusudiwa.

Lionel Messi, euros milioni 741. Lionel Messi, euros milioni 74

Cristiano Ronaldo, euros milioni​ 67.4
2. Cristiano Ronaldo, euros milioni​ 67.4
Neymar da Silva Santos Júnior, euros milioni​ 43.5
3 Neymar da Silva Santos Júnior, euros milioni​ 43.5
Zlatan Ibrahimovic, euros milioni​ 28.5  
4. Zlatan Ibrahimovic, euros milioni​ 28.5

Thiago Silva, euros milioni​ 26.5  
5. Thiago Silva, euros milioni​ 26.5

 Angel Di Maria, euros milioni​ 266. Angel Di Maria, euros milioni​ 26

 Gareth Bale, euros milioni​ 24.57. Gareth Bale, euros milioni​ 24.5

Thomas Müller, euros milioni​ 23.6
8. Thomas Müller, euros milioni​ 23.6
Wayne Rooney, euros milioni​ 22
9. Wayne Rooney, euros milioni​ 22
Andrés Iniesta, euros milioni​ 21.5
10. Andrés Iniesta, euros milioni​ 21.5

Misri Waanza Kujiandaa Na Mchezo Wa Mwezi Juni Dhidi Ya Stars
Lowassa alimpigia debe ‘Magufuli’?