Gazeti la ‘France Footbal’ limetoa orodha ya wachezaji wanaolipwa kiasi kikubwa cha pesa kwa mwaka mzima kupitia mishahara pamoja na matangazo ya biashara wanayoyafanya na baadhi ya makampuini makubwa duniani.
Pesa hizo kwa mwaka pia zimejumuisha ongezeko la malipo (Bonus) ambayo wanayapata kupitia mikataba waliyosaini dhidi ya viongozi wa klabu wanazozitumikia kufuatia mafanikio wanayopata kwa kuwa sehemu ya kutwaa mataji ama kufikia lengo lililokusudiwa.
1. Lionel Messi, euros milioni 74
2. Cristiano Ronaldo, euros milioni​ 67.4
3 Neymar da Silva Santos Júnior, euros milioni​ 43.5
4. Zlatan Ibrahimovic, euros milioni​ 28.5
5. Thiago Silva, euros milioni​ 26.5
8. Thomas Müller, euros milioni​ 23.6
9. Wayne Rooney, euros milioni​ 22
10. Andrés Iniesta, euros milioni​ 21.5