Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeendelea kutekeleza mkakati wa kutoa elimu ya mpiga kura kwa wananchi ili kuimarisha demokrasia nchini.

Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametoa wito kwa wananchi kuendelea kutoa ushirikiano wao kwa NEC ili kufanikisha mkakati huo. Bofya hapa kutazama video

Lil Ommy wa Times FM kupiga kambi Afrika Kusini kwa tuzo za MTV
Serikali: Wanafunzi watakaoandikishwa darasa la kwanza waripoti na mche wa mti