Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani ambaye pia ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga leo amezindua  mkakati wa wa miezi sita  wa baraza hilo wa kukabiliana na ajali za barabarani. 

Kiwanda Cha Nguo Nida Textile Chatozwa Faini Milioni 30 Kwa Uchafuzi Wa Mazingira
Cristiano Ronaldo Kusaini Mkataba Mpya