Kocha wa Misri mwenye asili ya kiajentina Hector Coper amewajumuisha kikosini wakali Mohamed Elneny na Mohamed Salah wanaovuma katika vilabu vyao kwa sasa kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Taifa Stars mapema mwezi juni mwaka huu.

Kikosi kamili ni kama kifuatavyo;

Makipa: Ahmed El-Shennawy, Essam El-Hadary, Sherif Ekramy

Mabeki: Ahmed Fathi, Ahmed Hegazy, Ali Gabr, Ayman Ashraf, Hamada Tolba, Hazem Emam, Karim Hafez, Mohamed Abdel-Shafy, Rami Rabia, Sabry Rahil

Viungo: Abdallah El-Said, Amr Warda, Hossam Ashour, Mahmoud Hassan, Mohamed Elneny, Mohamed Ibrahim, Momen Zakaria, Tarek Hamed

Washambuliaji: Amr Gamal, Ahmed Hassan ‘Koka’, Marwan Mohsen, Mohamed Salah

Raphael Varane Out Hadi Msimu Wa 2016-17
Meya Kinondoni abaini ujenzi wa barabara hewa kwa zaidi ya milioni 300