Kilimo cha zao la angi kimehalalishwa kisheria katika nchi ya Zimbabwe kwa ajili ya kutumika kama dawa na kwenye mambo mengine ya kisayansi

Kwa mujibu wa Serikali kupitia taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya imesema kuwa watu binafsi na taasisi zinaweza kuanza taratibu za kupata leseni kwa ajili ya kilimo hicho.

Hata hivyo, Zimbabwe inakuwa nchi ya pili barani Afrika kuruhusu kilimo hicho baada ya Lesotho kuruhusu mnamo Septemba 2017. Nchi za Malawi na Ghana zinaangalia namna ya kuhalalisha kilimo cha zao hilo ambalo nchi nyingi zinalichukuliwa kama ni moja ya dawa za kulevya.

Yanga- Tunasubiri dakika 90 tu kuikarisha Simba
Video: Askofu Malasusa aipasua KKKT, Utata kodi ya mafuta ghafi kuchochea bei