Habari Leo ni siku ya kumbu kumbu ya kuzaliwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete 8 years ago Leo ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Mh. Jakaya Mrisho Kikwete. Neno moja kwake kumtakia heri huku ukimtakia maisha marefu zaidi Ndalichako awaadhiibu vikali walimu wa mafunzo waliohusika na kipigo cha mwanafunzi mbeya. Rais Magufuli atimiza ahadi yake kwa Balozi Sefue, ampa Kazi