Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Novemba 25, 2017 anazindua Hospitali ya Taaluma na Tiba ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi cha Muhimbili Kampasi ya Mloganzila, Dar es salaam. Bofya hapa kutazama moja kwa moja uzinduzi huo muda huu.

Joseph Kimwaga, Shaaban Iddy waendelea kupambana na hali zao
Anthony Joshua amvaa Tyson