Tazama hapa moja kwa moja yanayojiri katika Ibaada ya kusimikwa kwa Askofu Mteule, Gervas Nyaisonga Jimbo Kuu Mbeya, ambapo Misa hiyo imehudhuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli mkoani Mbeya.

Tishio la Bastola lazidi kumtesa Nape, 'Hii sio busara kabisa'
Niyonzima ajutia kadi nyekundu, 'Naombeni mnisamehe sana'