Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewasili Urambo Mkoani Tabora kwa ziara ya kikazi akitokea wilayani Kaliua ambako alizindua barabara ya Kaliua – Kazilambwa. Tazama moja kwa moja kutoka Urambo Rais Magufuli akiwahutubia wananchi muda huu

Majaliwa amtumbua DED wa mbozi kwa matumizi mabaya ya fedha za umma
Marekani yaridhia kuiwekea vikwazo Urusi