Fuatilia hapa moja kwa moja kutoka Mwanza muda huu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli katika hafla fupi ya uwekaji saini mikataba ya ujenzi wa meli mpya, MV. Victoria na MV.Butiama katika ziwa Victoria.

Serikali ya Libya yatangaza hali hatari
Watanzania waishio China watakiwa kushawishi wawekezaji