Fuatilia hapa moja kwa moja kutoka Bungeni Dodoma, wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakipiga kura kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2018/2019.

Bofya hapa

Bunge laipitisha bajeti kuu ya Serikali 2018/19
Ndugai: Endapo mtaikataa bajeti ya Serikali, Rais atalivunja bunge