Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya ndani na nje ya Tanzania leo Februari 10, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele.

Msigwa aibua ufisadi mkubwa mradi wa uhamiaji mtandao (E-Immigration)
Msigwa awekwa chini ya ulinzi wa kamati ya maadili