Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Januari 13, 2018. Hapa unapata habari zote zilizopewa uzito katika kurasa za mbele.

CCM yatamba kushinda majimbo yote
RC Tabora : Kuanzia Jumatatu kamateni wazazi ambao watoto wao wameshindwa kuripoti shuleni