Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za pongezi Dk. John Pombe Magufuli kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Katika salamu zake, Malinzi amesema TFF ina imani na ahadi za mikakati yake ya kuongeza uwekezaji wa serikali katika maendeleo ya mpira wa miguu na michezo kwa ujumla.

Gus Poyet Alamba Ajira Ugiriki
Wenger Kuwakosa Walcott, Chamberlain