1. Jifunze kuweka akiba ya fedha

2.Tafuta mpenzi sahihi na tulia nae

3. Acha kuishi na wazazi au kupanga nyumba na washikaji

4. Achana na starehe zisizo na maana

5. Jali sana afya yako

6. Kuwa na marafiki wenye changamoto za maendeleo

7. Anza kununua asset kama vile ardhi, kitanda, vyombo vya nyumbani na n.k

8. Jifunze kuvaa kwa heshima na si tu suala la kupendeza

9. Acha mambo ya kitoto jisikie umekua mkubwa na mambo unayoyafanya yawe ya kiutu uzima

10. Zingatia sana muda wako.

Comment namba ulioipenda hapo juu.

Mhadhiri Chuo Kikuu akamatwa kwa kumkashfu Rais Magufuli mtandaoni
JPM amteua Mhandisi Korosso kuwa Mwenyekiti ATCL