Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasha mtambo (pampu) wa kutoa maji chini ya ardhi kwenye kisima kirefu (m 450) kwa ajili ya kuyapeleka kwenda kwenye tanki kubwa la maji eneo la Kigamboni Jijini Dar es Salaam.





NECTA yatakiwa kuimarisha usimamizi changamoto za mitihani
