Benchi la ufundi Simba limemrudisha katika kikosi cha kwanza mshambuliaji Laudit Mavugo katika pambano la leo ligi kuu dhidi ya Mbao FC.

Mavugo alianzia benchi katika michezo miwili mfululizo iiliyopita dhidi ya Mbeya City na Kagera Sugar ambayo mshambuliaji mwenzake, Frederic Blagnon alipewa nafasi ya kwanza.

Kikosi kamili: Vicent Angban, Janvier Bokungu, Mohamed Hussein, Juuko Murshid, Method Mwanjale, Jonas Mkude, Ramadhan Kichuya, Mzamiru Yassin, Shiza Kichuya, Ibrahim Ajib, Mwinyi Kazimoto.

Akiba: Manyika Jr. Andi Banda, Said Ndemla, Novalty Lufunga, Emmanuel Simwanza, Mohamed Ibrahim, Frederic Blagnon.

Wanafunzi UDSM wagoma, wapinga punguzo la kiwango cha mkopo
Wenger Aweka Hadharani Mchongo Wa Ozil, Alexis