Mchawi wa Barcelona,  Lionel Messi ameonekana mtulivu kwenye mazoezi ya jana akijiandaa na mechi ya UEFA Super Cup.
Siku chache zilizopita, Messi alicheza dhidi ya AS Roma katika mechi ya kirafiki dhidi ya AS Roma ya Italia, lakini ndani ya uwanja kulikuwa na cheche za aina yake.
Messi alimpiga kichwa na kumkaba koo beki wa Roma, Mapou Yanga-M’Biwa,  Barcelona ikishinda 3-0 Camp Nou.
Muargentina huyo hakuoneshwa kadi nyekundu kwa kufanya tukio hilo.
Andres Iniesta and Gerard Pique walk together during a training session at the Boris Paichadze Dinamo Arena
Former Liverpool striker Luis Suarez does his best to swerve an over-zealous slide tackle in training
Messi looked a lot calmer during Monday's training session than he did just days ago against Roma
Messi was lucky not to be sent off for his antics during the pre-season clash against Roma last week                                                                      Messi anatarajia kuonesha moto wake…

Yaya Toure Auwasha Moto Man City
Daktari Wa Chelsea Arejesha Majibu