Meli kubwa ya kichina imeanza kupita katika mfereji wa Panama ikifanya safari yake ya kwanza kwenye mferejii huo uliofanyiwa ukarabati wa kuupanua uliochukua karibu miaka kumi.

Maelfu ya watu walipeprusha bendera wakati chombo hicho kinachosheheni zaidi ya mabohari 9,000 kiliingia mfereji huo kikitokea bahari ya Atlantic.

Meli hiyo itachukua saa chache kuvunjika na kuingia bahari ya Pacific ambapo viongozi wanane watahudhuria sherehe za kufunguliwa kwa mfereji huo wa Panama.

Mradi huo utaongeza mara dufu idadi ya meli wanaopita na kupunguza gharamna ya usafiri wa haharini kwa mabilioni ya dola kila mwaka

Mafuriko yasababisha vifo vya watu 24 Marekani
Wakimbizi 50,000 wa kisomali kuondoka Dadaab