Kiungo kutoka nchini Misri, Mohamed Naser Elsayed Elneny, amepiga picha kwa mara ya kwanza akiwa amevalia jezi za klabu yake mpya ya Arsenal.

Usajili wa Elneny, ulithibitishwa na meneja wa Arsenal usiku wa kuamkia hii leo, mara baada ya mchezo wa ligi kuu ya soka nchini England dhidi ya Liverpool ambao ulimalizika kwa sare ya mabao matatu kwa matatu.

The new signing was the centre of attention in the dome at Arsenal's training ground after completing his move

Arsene Wenger confirmed the move for the midfielder after Arsenal drew 3-3 at Liverpool on Wednesday                        There was plenty of posing for Elneny to do after his transfer was confirmed

A photographer snaps the first official images of Arsenal's new midfielder at London Colney on Thursday

Midfielder Elneny had been awaiting international clearance but now could be ready to face Stoke on Sunday

Arsenal released a series of images to mark the move          Elneny is Arsenal's first signing of the January window

Real Madrid na Atletico Madrid Zafungiwa
Watoto Wa Azam FC Wawafundisha Soka Wanajeshi